Maridhawa Academy ni jukwaa la kidijitali linalotoa Elimu ya afya ya asili, tiba Rahisi za nyumbani, na mbinu rahisi za kuboresha maisha ya kila siku. Tumejikita katika kusaidia watu kuelewa miili yao, kujitunza kwa njia salama, na kuchukua hatua zinazoongeza ubora wa afya kwa muda mrefu.

Kupitia kozi zetu – za bure na za kulipia – unapata:

  • πŸŽ₯ Masomo kwa Video  rahisi kuelewa na kufuata hatua kwa hatua

  • πŸ“˜ Mwongozo wa maandishi (PDFs & Notes) unaoweza kupakua, kwa ajili ya matumizi ya Baadae.

  • πŸ‘©β€βš•οΈ Ushauri & Usimamizi wa kitaalamu kutoka kwa wataalamu wa afya ya uzazi na tiba asilia.

✨ Kauli mbiu yetu:
πŸ‘‰ β€œAfya Bora kwa Ajili ya Kila Mtu.”

 β€œChukua Hatua – Jifunze, Badilika Afya na Uishi Katika Afya  Bora Zaidi!”

Mission Yetu

Kutoa elimu ya afya ya asili na tiba bunifu kwa njia rahisi, nafuu na ya kidijitali, ili kumwezesha kila mtu kuboresha maisha yake ya kiafya, kulinda familia yake, na kuishi maisha yenye furaha na maridhawa.

Vision Yetu

Kuwa kituo kinachoaminika barani Afrika na duniani kote kwa kutoa maarifa ya afya ya asili, tiba za nyumbani, na mbinu za kimaisha zinazobadilisha Afya  vizazi kwa vizazi.


Thamani Kuu (Core Values)

  • Uhalisia na Usahihi – Tunatoa elimu ya kuaminika na inayojengwa kwenye misingi ya kitaalamu.

  • Upatikanaji kwa Wote – Maarifa ya afya ni haki ya kila mtu, popote alipo Anatakiwa Kunufaika.

  • Ubunifu – Tunatumia njia bunifu na rahisi kueleza mambo magumu.

  • Msaada wa Jamii – Tunajenga jumuiya ya kujifunza, kushirikiana, kuimarishana na kutiana moyo.

  • Uwajibikaji – Tunahakikisha huduma zetu zinakidhi viwango bora na maadili ya afya.

 β€œChukua Hatua – Jifunze, Badilika Afya na Uishi Katika Afya  Bora Zaidi!”

Anza Safari Yako ya Afya Sasa!

Jiunge Nasi Leo, Jifunze Afya Asilia kwa Urahisi!

Anza Hapa
img